nani hajalipwa?Hivi ni halali mfanyakazi kukosa stahiki yake kwa sababu ya uwepo wa wafanyakazi hewa au ni kisingizio tu,kwa nn anaefanya kazi asilipwe kwa kosa la mtu asiyekuwepo
Watumishi wana barua za kupanda madaraja toka ter.01/03/2016 hadi leo wanasubiri uhakiki upite ndo wapate hiyo salary yaninani hajalipwa?
HEWA + HEWA = WINDHayo mambo ya wafanyakazi hewa nayo ni hewa tu....