Ishu ya ngedere, hua ni usumbufu sana, hata mim nimeona na pia Kuna tembo wanasumbua sana kuja mashambani kula, so nakushauri, kama una weza kuwaua ua tu, lakini usiwatupe watundike ngedere hujifunza Kwa mfano, Kuna jamaa alilima mahindi heka zake za kutosha, ngedere wakaanza usumbufu, ikabidi...