Recent content by Mwinjilist mtume nabii

  1. Mwinjilist mtume nabii

    Kumpiga mtu picha akiwa eneo la kazi na kuzituma mtandaoni; taratibu za kisheria zinasemaje?

    Nimemuandikia barua mwajiri kuomba ufafanuzi Kama NI haki kubandika picha kwamba yeyote tu anaweza kufanya? Na Kama sio haki nimemtaka mwajiri atoe ruhusa ya kuziondoa izo picha. Barua nimeipitishia kwa katibu chama Cha wafanyakazi wa hapa. Je hapo nimefanya sahihi? Lakn Kama nikiripoti polisi...
  2. Mwinjilist mtume nabii

    Kumpiga mtu picha akiwa eneo la kazi na kuzituma mtandaoni; taratibu za kisheria zinasemaje?

    Ndo maana nauliza je naweza kuchukua hatua gani maana zile picture ameziprinti na kuzibandika kila mahali, ,,,
  3. Mwinjilist mtume nabii

    Pigo la kwanza kwa Simbachawene

    Mungu ameingilia Kati ndo maana hata Mh Rais amekaa kimya
  4. Mwinjilist mtume nabii

    Kumpiga mtu picha akiwa eneo la kazi na kuzituma mtandaoni; taratibu za kisheria zinasemaje?

    Yameisha tumefanya km counseling, lakn kitu kingine NI kwambaa yule KIONGOZI ameiprinti picha ile na kuzibandika Kila ubao wa matangazo. Sasa je hapo sio kosa la uzalilishaji kwa mujibu wa sheria? Je naweza kuchukua hatua gani hapo?
  5. Mwinjilist mtume nabii

    Simbachawene: Serikali kuangalia upya utaratibu wa kuanzisha Makanisa, Wachungaji watapaswa kuwa na Shahada ili kupunguza "Vibanda Imani"

    Ta Tatzo sio kuwa na shahada,,, na Wala iyo mipango haitafanikiwa. Kwa sbb upako hauletwi kwa shahada na Wala MAPEPO hayaogopi shahada.
  6. Mwinjilist mtume nabii

    Manabii na Mitume mko wapi kumtetea Mwamposa?

    Kamgomoli, Tupo tumejifungia kwenye maombi tunamuuliza Mungu nn Cha kufanya
  7. Mwinjilist mtume nabii

    Kumpiga mtu picha akiwa eneo la kazi na kuzituma mtandaoni; taratibu za kisheria zinasemaje?

    Asante Sana tumemaliza tumefanya km counseling,, lakn yule mzungu aliprint picha akabandika Kila mahali je hapo naweza kuchukua hatua gani? Je sio udhalilishaji?
  8. Mwinjilist mtume nabii

    Kumpiga mtu picha akiwa eneo la kazi na kuzituma mtandaoni; taratibu za kisheria zinasemaje?

    Haijawai tokea kabsa na hata in charge wangu anathibitisha ilo. Ila wamesema nitaitwa kwenye kikao ndo nasubiri. Nini naweza kueleza hapo
  9. Mwinjilist mtume nabii

    Kumpiga mtu picha akiwa eneo la kazi na kuzituma mtandaoni; taratibu za kisheria zinasemaje?

    Ilikua NI picha tuu. Na kisha ameiprinti na kuibandika kwenye mbao za matangazo
  10. Mwinjilist mtume nabii

    Kumpiga mtu picha akiwa eneo la kazi na kuzituma mtandaoni; taratibu za kisheria zinasemaje?

    Kwenye mkataba hakuna Mambo ya kusinzia kazini. Bali Kuna kuhusu kulala kazi yaan kutokuja kazini. Karibu
  11. Mwinjilist mtume nabii

    Kumpiga mtu picha akiwa eneo la kazi na kuzituma mtandaoni; taratibu za kisheria zinasemaje?

    Nilikua ofisini kwangu nimekaa nikasinzia yeye aliingia kwa Siri akapiga picha bila hata kuniambia na akaanza kuwatumia viongozi wengine
  12. Mwinjilist mtume nabii

    Kumpiga mtu picha akiwa eneo la kazi na kuzituma mtandaoni; taratibu za kisheria zinasemaje?

    Habari wakuu Naomba nipeni taratibu za kisheria endapo KIONGOZI wako wa kazi akikupiga picha na kutuma mtandaoni. Natanguliza shukrani
Back
Top Bottom