bullar
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 9,021
- 19,794
Mining area yote ni hatarishi kuanzia getini lkn pia ikitokea emergency unatakiwa ukaokoe wenzako sasa kma wewe umelala huoni kama ni hatari? Kuhusu picha hua kuna utaratibu wa kushare hizo unsafe acts worldwide ndio maana ukienda kwenye safety board unakuta hata kesi za Australia wanaleta bongo ilikuwapa awareness
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati anapiga picha nilikua ofisini tuu sio labda sehemu hatarishi
Sent using Jamii Forums mobile app