Cku zote ukwl unauma cjawai kuona kiongoz anaependa kusifiwa tu kukosolewa hata mm navyojua mwanamke ndie hupenda kusifiwa na mwanaume pale anapokua nakitu anakiitaj kumbe mpaka viongoz nawao nikama wanawake
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanachanganyikiwa ni jinsi gan tundu lissu alivyo kichwa kupitiliza a.k.a jembe sasa wanampima mkojo waanglie ni nini kinamfanya awazid akili serekal nzima inaongoswa na rais mawair dola na kadhalika alafu mtu mmoja anawzd
Sent using Jamii Forums mobile app
Mm bado nko njia panda sio haya ya Ngeleja c kwamba kasetiwa ili tuvurugane kwenye vichwa vyetu kwl kma katumwa mm cpo nimetoka atawakuta nyinyi
Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
Ww ndio mwenye kosa kwan hujui kwamba kumwitaji mwenyez mungu ni bure?na mda wowote?kwa nn utumie garama kbw hvyo kumpata mwenyez mungu?kwa ushsuri mungu hayupo nigeria mungu yupo kila kona ya dunia.huo ni utajiri wako ulikuwasha kutoa hizo hela na watu kma nyinyi mungu anawasubr sana mnae tumia...
Siamin kwan nimemis sana uhuru wa habar coz kma kwl kiongoz wa nnchi anasema kila cku kwamba yy ni kiongoz wa watanzania walio chin na anatumbua live kwa nn na yy asiweke waz kukosolewa live?
Jaman kwl cc watanzania cjui tutaishia wap waziri wa viwanda kaeleza kila kitu ambayee ndie wazir wa viwanda nnchin sasa nikipi mnakitaka tena?huyu aliye post hii na hao wanao msapot jpimen upya huenda mnamapungufu.
Ya dangote tuliambiwa kafunga kwasababu ya garama za uzalishaji amepandishiwa baadae tukaambiwa sio hivyo ni mitambo inarekebishwa baadae ukwl ukasimama na hya kma in uzushi basi ushwindwe kma sio ukwl utasimama hatakama kwa hili lbda kwa lingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.