Kwaiyo aendelee na Uenyekiti hadi kufa kwake au?? Watu mnataka mabadiliko lakini nyinyi hamtaki kumbadili Mwenyekiti,,,mbona Mtei mwanzilishi alikaa miaka 5,,Makani pia miaka 5,,,,, Kwanini huyu baada ya miaka 20 ,hamsemi inatosha. Jambo gani ambalo hajafanya miaka 20 atalifanya miaka 5...