MKANDAHARI
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 5,737
- 6,642
- Thread starter
- #41
"Mtu mzima unapovuliwa nguo chutama", sasa huyu jamaa tutamjuaje ni mtu mzima kama akivuliwa nguo anakimbia huku na kule akijiita nguli wakati tunamuona yupo uchi?Mkuu usishangae, hata shangazi (wakili mahili) alenda kuargue mahakamani kwa kutumia sheria iliyokuwa imeshafutwa tayari!
Wanasheria nao ni binadamu kama watu wengine.



