Njia 10 za kumtambua mwanamke asiyefaa

Njia 10 za kumtambua mwanamke asiyefaa

1. Ikiwa mwanamke anapenda kuvaa nguo zinazofunua na kuonyesha viungo vyake vya siri mitaani, katika mazingira ya familia au mkusanyiko wa umma, HUYO MWANAMKE NI KAHABA NA HAKUFAHI!

2. Mwanamke anayesema anachukia wanawake wenzake na ana marafiki wa kiume tu. 9 kati ya 10 mwanamke huyo ni MALAYA NA HAKUFAI! JIHADHARI NDUGU.
Amka wewe, naona bado umelala kwenye karne ya 21, hayo uliyoyataja hapo yana kaukweli lakini na kinyume ya hayo uliyoyataja pia ndio umalaya wenyewe, kwa dunia ya sasa unaweza ukamkuta mwanamke asiwe na hata moja kati ya hayo uliyoyaorodheshwa lakini akawa ndio malaya kuliko hata umalaya wenyewe!

I'm out.
Prendilo
 
1. Ikiwa mwanamke anapenda kuvaa nguo zinazofunua na kuonyesha viungo vyake vya siri mitaani, katika mazingira ya familia au mkusanyiko wa umma, HUYO MWANAMKE NI KAHABA NA HAKUFAHI!

2. Mwanamke anayesema anachukia wanawake wenzake na ana marafiki wa kiume tu. 9 kati ya 10 mwanamke huyo ni MALAYA NA HAKUFAI!
Mingon mwao kuna mwanamke nitamuoa.
 
Ukiona anapiga picha huku ametanguliza makalio mbele badala ya sura/uso, jua huo ndio mtaji wake. Kimbia kabisa ukimwona wa aina hiyo. Ni bora akatwe kichwa kuliko kalio. Huyo ni wa kuogopa kabisa.
Hawa ndo akili hawana kabisa hasa ukute ana matako makubwa
 
Amka wewe, naona bado umelala kwenye karne ya 21, hayo uliyoyataja hapo yana kaukweli lakini na kinyume ya hayo uliyoyataja pia ndio umalaya wenyewe, kwa dunia ya sasa unaweza ukamkuta mwanamke asiwe na hata moja kati ya hayo uliyoyaorodheshwa lakini akawa ndio malaya kuliko hata umalaya wenyewe!
I'm out.
Prendilo
Wewe unazungumzia wale wanaojificha ficha, wanajistukia, hawajiamini wewe kweli upo gizani stuka wewee
 
Wewe unazungumzia wale wanaojificha ficha, wanajistukia, hawajiamini wewe kweli upo gizani stuka wewee
Wewe ndio ushtuke kijana, hizo ulizotaja zote wanawake wa siku hizi wanacounter, unaweza kumkuta hana hata moja kumbe ni malaya mkata kiuno kuliko paka chongo!
How old are you kijana?!
 
Ikiwa anaweka bleach kichwa kizima. Na anapenda sana kuchat chat na kucheka cheka hovyo.
 
Ikiwa akikaa anapanua miguu na haibani. Na anavaa twi sketi twifupi na kupakaa mafuta mengi. Ikiwa ana kikuku mguu mmoja au amevaa pete vidole vya miguu
 
Kama katoboa kitovu na sikio lotee limejaa hereni na ana kipini puani kama pamela. Ndugu yangu huyo hatakufaa
 
Mwanamke hata awee vipii Kama hajakupenda hajakupenda tuu na kama amekupenda amekupenda

Mwanamke hata awe na hofu na MUNGU au mchaa MUNGU kama hajakupenda atakutumia tuu na kukubwaga on the other side mwanamke anaweza akawa chapombe na akawa Best woman for You

Always wanawake huwa hawana Formula hawatabiriki
Mwanamke Chapombe anakuwaje Best woman,,,Chapombe kweli awe mwanamke bora na hata ukaona anafaa kulea familia yako kwelia au unatania
 
1. Ikiwa mwanamke anapenda kuvaa nguo zinazofunua na kuonyesha viungo vyake vya siri mitaani, katika mazingira ya familia au mkusanyiko wa umma, HUYO MWANAMKE NI KAHABA NA HAKUFAHI!

2. Mwanamke anayesema anachukia wanawake wenzake na ana marafiki wa kiume tu. 9 kati ya 10 mwanamke huyo ni MALAYA NA HAKUFAI!
Tofauti Malaya Na Kahaba ni kitu gani?
 

Polish_20210815_152747890.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom