Kama kichwa cha habari kinavyosema nahitaji muwekezaji au mnunuzi WA mgodi, mgodi huu umefanyiwa drilling hivyo sample na majibu ya sample vyote vipo. Alie na connection anitafute DM
IQ yako ni ndogo Sana kijana, badala utafute hela unawaza K, nilipofikisha 1mil USD at 40yrs old niliitisha interview ya kutafuta mke walijitokeza walimbende zaidi ya 500 kwenye isahili. Hivyo tafuta hela. Usioe mwanamke asie type yako kisa hauna hela Bora usioe kabisa.
Mwezi WA 3,4,5 hapo MTU unaweza kulangua kwa wakulima kwa bei ya chini then ukaja kuiuza kwa mzungu sina hakika lkn nadhani kuanzia mwezi WA 7 kwa bei nzuri inaweza kudouble bei uliyonunulia. Angalizo lazima uwe na mwenyeji au mzoefu ili kununua grade nzuri ya tumbaku
Napata usumbufu Sana kutoka kwa mishangazi amini kwamba. Wanataka niwape chata😎, SASA hao mishangazi ndio kama hawa unaowapamba sasahivi wasitupe mipapa baadae wanaanza kutafuta anaepumua Tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.