Recent content by MWESONGO RAMADHAN

  1. MWESONGO RAMADHAN

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Shida sio vodacom, shida ni wateja wao, unajua zile msg za ovyo wanazisomaga! Na ndivyo wanavyowachukulia wateja hivyo hivyo. Utakuwa umenielewa mjingamimi
  2. MWESONGO RAMADHAN

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    10,009= kumi elfu na tisa. 19,000= elfu kumi na tisa
  3. MWESONGO RAMADHAN

    Hivi ni kweli?

    Kwani sh. Ngapi hadi unalia
  4. MWESONGO RAMADHAN

    Maajabu ya msiba, Halima avunja ukimya

    Kawaida hiyo, sawa na Bernard Morrison kuifunga simba na baadae kusajiliwa simba. Huyo dada kasajiliwa kwa mkopo.
  5. MWESONGO RAMADHAN

    Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Navua mwenyewe
  6. MWESONGO RAMADHAN

    Mapokezi Ya FC Platinum: Hatimaye 'Wananchi' Waonyesha Uzalendo...!!!

    Jamaa kajikaza haoni hata noma, mtamaliza ligi bila ya kufungwa ila kombe watabeba simba. Sijui km ishawahi kutokea. Itakuwa historia ya ulimwengu pia
  7. MWESONGO RAMADHAN

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Heri ya mwaka mpya vyura wote. Ila leo mmepiga mbizi topeni
  8. MWESONGO RAMADHAN

    Nataka gari mpya toka showroom.. namba d

    Ipo hapa gari ya hiyo hela ila haina engene, Vioo, siti, usukani, tairi wala chesis ila gari bado mpya kabisa ina site mirrow moja
  9. MWESONGO RAMADHAN

    Entebbe express way

    Bongo tuna magari ila hatuna barabara , hao wana barabara ila hawana magari
  10. MWESONGO RAMADHAN

    Uzi maalum kwa 'vitu used'

    Mzigo upo?
  11. MWESONGO RAMADHAN

    Kaka tuchati - Ngoma mpya Ya Rostam, Roma & Stamina

    Tatizo lao lipo pale pale shooting ya bukujero wanatumia tecno kurecord. Ndo maana kila cku atabaki juu chibu Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom