Hivi ni kweli?

itakiamo

JF-Expert Member
Nov 1, 2014
596
1,002
FB_IMG_16275542634357207.jpg
 
Nadhani ni uoga wa sindano tu hapo.

Huko nyuma sikuwa muoga wa hizi kitu ila hapa kati nimechezea misindano na madrip ya kutosha nadhani uoga nilio nao sasa ni kama huyo Jokate na nisipojikaza sana naeza nipige ukunga kabisa. 😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom