Waendelee tu kuchanja bado nipo nipo Kwanza 😂Mambo ya ajabu yanazidi kuongezeka 😁😁
View attachment 1872793
Mkuu kama ukijaliwa mtoto usimpe chanjo yeyote ile sawa
Ndo akili yako ilipoishia
AnawashwaUmeshaambiwa ni hiari, kinachokufanya upost ni nini! Au unatafuta comments
Raha gani Mkuu??., Weka mambo hadharani.Uyo manzi aliyeachama mdomo anaingiziwa nini kwenye mwili wake,mbona kama raha zimemzidi au mimi ndo sijaelewa?
Mkuu taratibu tujikite kwenye mada...Sema jokate mzuri sana nliangalia video akiwa anachanjwa yaan kama vile katoto flani hvi kuna mamen wanakula pazuri
Mambo ya ajabu yanazidi kuongezeka 😁😁
View attachment 1872793
Bora nifungwe jela kuliko kuacha kumsifia Mhe. KidotiMkuu taratibu tujikite kwenye mada...
Duuh! Mwenyewe anajua Mkuu?Bora nifungwe jela kuliko kuacha kumsifia Mhe. Kidoti
nampaisha apa tu kama upo nae karibu mfikishie tuDuuh! Mwenyewe anajua Mkuu?