Recent content by mwenyenacho

  1. M

    Taifa halina maono ya maendeleo zaidi ya nani kaumia na nani kafurahi

    Nikiangalia ktk teuzi Magufuli alikua anajitahidi sana na utaona alikua anateua mtu akitaka matokeo flani ktk kutimiza vision zake ktk kuliletea Taifa maendeleo. Kuna watu unaona kabisa alikua akiwaandaa au kuwapa teuz flani ili wafit sehemu flani. Tukija huku unaona kuna safu ya kusifu na...
  2. M

    Zitto Kabwe na Vicky Kamata mwacheni hayati Magufuli apumzike kwa amani huko mbinguni

    Kwani unauhakika yuko mbinguni? Mtu akifa anaenda wapi? Azori, Beni saanane nk nao sijui watakuwa wapi. Japo nasikia ukitenda mema utafika mbinguni. Sasa hawa akinasaanane wanaweza kuwa kikwazo kwake uliemtaja. Du! Maisha safafari ndefu. Huojui kesho yako na unataka wapangia wengine kesho yao.
  3. M

    Vicky Kamata: Rais Samia hawezi kutibu majeraha, viongozi wa dini wagange mioyo ya watu, wamejeruhiwa

    Kwani Kuna mwanasisiemu asiyekuwa mnafiki? CCM wote ni wanafiki nilijifunza Hilo kupitia janga la Uviko 19 na mengine mengi. Hawana wanachokisimamia kwa misimamo yao, ila ni kufuata upepo tu.
  4. M

    Kwanini Mungu hakurekebisha kilichosababisha shetani akaasi kabla ya kumuumba binadamu?

    Pia ikumbukwe kuwa mzee wa msoga alisema " akili za kuambiwa changanya na za kwako"
  5. M

    Kwanini Mungu hakurekebisha kilichosababisha shetani akaasi kabla ya kumuumba binadamu?

    Mtoa post angezungumza mapema Nini anaamini, maana unaweza ona hayuko upande wowote Kati ya hizo pande mbili anazozungumzia
  6. M

    Waziri Jafo asema atabandika majina hata ya wale waliojitoa na kura zitapigwa

    Naona Kuna mihemko hapa kwa jafo; Chama ambacho watu wake wameshindwa kujaza fomu, mnawalazimisha kuwashirikisha ktk uchaguzi wenu! Je mnauhakika Sasa wataweza kuandika mapingamizi Kama kujaza fomu kuliwashinda? Waliojitoa achana nao, CCM big up sana mmeshinda kwa asilimia 100%. Lakini...
  7. M

    Mahakama yaigomea Serikali. Aveva na Nyange waachiwa kwa dhamana

    Kama walikuwa na makosa! Kwa Nini wawafutie makosa kabla ya hukumu?
  8. M

    Kaniambia ananipenda baada ya kuolewa

    Ndoa na iheshimiwe na watu wote. Mda wa yeye kukuambia hilo ulipita na hakusema. Alichokutana nacho huko avumilie tu. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. M

    Askofu stephen Munga: Tunapotembea na Yesu katika mateso tuwakumbuke watu ambao wanapita njia ya kuteswa na kuuawa

    Kifungu gani ktk biblia.? Nataka utoe ushahidi wa kifungu alichosema hayo.
  10. M

    Waraka wa Pasaka kutoka kwa mhandisi ujenzi mzalendo

    Waraka Wa maaskofu KKT NA TEC unatosha. Hii nyingine ni mihemko na kuchumia tumbo tu.
  11. M

    Dr. Mollel aibomoa tena CHADEMA Siha

    Atabaki na mimi. Usipojua kuandika habari za kisiasa kaa kimya. Hapa sio Facebook, tunataka fact na sio ushabiki.
  12. M

    Kwanini magazeti ya Uhuru & Daily News hayaandiki habari za ya afya ya Lisu?

    Nadhani yanaogopa kufungiwa. Kwa magazeti tajwa, habari hizo haziwafai.
Back
Top Bottom