Nikiangalia ktk teuzi Magufuli alikua anajitahidi sana na utaona alikua anateua mtu akitaka matokeo flani ktk kutimiza vision zake ktk kuliletea Taifa maendeleo.
Kuna watu unaona kabisa alikua akiwaandaa au kuwapa teuz flani ili wafit sehemu flani. Tukija huku unaona kuna safu ya kusifu na...
Kwani Kuna mwanasisiemu asiyekuwa mnafiki?
CCM wote ni wanafiki nilijifunza Hilo kupitia janga la Uviko 19 na mengine mengi.
Hawana wanachokisimamia kwa misimamo yao, ila ni kufuata upepo tu.
Naona Kuna mihemko hapa kwa jafo;
Chama ambacho watu wake wameshindwa kujaza fomu, mnawalazimisha kuwashirikisha ktk uchaguzi wenu! Je mnauhakika Sasa wataweza kuandika mapingamizi Kama kujaza fomu kuliwashinda?
Waliojitoa achana nao, CCM big up sana mmeshinda kwa asilimia 100%.
Lakini...
Ndoa na iheshimiwe na watu wote.
Mda wa yeye kukuambia hilo ulipita na hakusema.
Alichokutana nacho huko avumilie tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.