Hii inaacha maswali wengi bila Majibu kwa sie wenye uelewa mdogo kuhusu nani alihusika tukio la kushambuliwa kwa Lisu. Naelewa vipanga walishafanya upembuzi na kujiridhisha kuhusu wakina nani walihusika ila kwa hii style ya magazeti haya...aisee....tunatia shaka sasa na sisi vilaza....kama unabisha angalia magazeti ya leo yote habari ni kuhusu kuimarika kwa afya yake kasoro hayo magazeti mawili tu...