Katika vitu ambavyo mama nampenda ni kuwa ana Imani sana na Mungu na pia ni muumini sana na dini yake. Kwa hapo Mungu azidi kumpigania Rais wetu azidi kumpa afya njema na busala iliyotukuka.Pili Rais wetu ana nia njema na nchi yetu, sema Kuna uharaka sana wa kibadirisha hizo Sheria. Lakini tumpe...
Kwa sisi wakristo tunaamini Mungu ana nafsi tatu ambazo ni Mungu baba, Mungu mwana na Roho mtakatifu hivyo basi Yesu alivyosulubishwa msalabani alikuwa Mungu mwana lakini nafsi mbili zilibaki ambazo ni Mungu baba na Roho mtakatifu.
Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi inazindua uboreshaji wa taarifa za wapiga kura na Uandikishaji wa wapiga kura wapya tarehe 20 July 2024.Viongozi wao wakuu akiwemo Mwenyekiti Jaji mstaafu ndugu Jacobs Mwambegele pamoja na Mkurugenzi wa Uchaguzi ndugu Kailima wamejitahidi sana kuhamasisha na kutoa...
Nathubutu kusema Msigwa ameshindwa kusoma nyakati, hatukatai kwamba CHADEMA hakuna mapungufu lakini sioni kama Matatizo anayoyasema ndio chanzo cha yeye kuhama. Watu wenye macho matatu wanajua ni uchu wa madaraka tu, kwa sababu shida ilianza baada ya kushindwa na Sugu kwenye Uchaguzi Kanda ya...
Hivyo viatu anvyo visema ni Laizon
Viatu gani mkuu unavyo visema ni raizoni au.Kama unamaanisha utendaji wa kazi basi umesahau kumuolozesha Rais wetu Samia.Kwa sababu utendaji wake ni bora kuliko huyo Magufuli. Mama Samia kaichukua Nchi ikiwa katika kipindi kigumu mno, lakini amepambana mpaka...
Mkuu Mimi naona kumfananisha Dr Raisi mama yetu Samia na Magofuli unakosea.Sawa Magufuli alitenda yake mazuri lakini Mama naona is The best.Kwanza ni Mwanamke Jasiri sana sijawahi ona, Magufuli aliogopa Wapinzani mpaka kikarataza maandamano na mikutano ya Wapinzani, lakini Mama ameruhusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.