Recent content by mwendapole12

  1. M

    Msaada: Gari (IST) halipigi starter

    sawa ila batterry ni mpya basi kabisa ila yawezekana battery yaweza kuwa na uwezo mdogo licha ya kuonesha ishara zote kwenye dash board.
  2. M

    Msaada: Gari (IST) halipigi starter

    Wakuu naomba mnisaidie kitu nilisafiri yapata week mbili nikaliacha gari langu aina ya IST ila baada ya kurudi nimeliwasha likawaka ila silensa ilikuwa juu sana. Baadaye ikaanza kutoa halufu kwenye injini kama kuna kitu kinaungua nikawahi kuizima baada ya hapo ikawa haipigi stata tena yaani...
  3. M

    Uvimbe baada ya kutoboa sikio unaondolewaje?

    Wakuu nini surulisho la kuondoa uvimbe huu unaotokea baada ya kutoboa sikio
  4. M

    Naomba kujuzwa jinsi ya kuupokea mzigo kutoka nchi za nje

    hiyo hapo juu ni mfano tu wa hiyo copy alonitumia hapo maana ina details zangu zote majina na simu hivyo amenambia nisiishee kwa mtu yeyote.
  5. M

    Naomba kujuzwa jinsi ya kuupokea mzigo kutoka nchi za nje

    tunafahamiana na amenitumia mfano wa hi i
  6. M

    Naomba kujuzwa jinsi ya kuupokea mzigo kutoka nchi za nje

    Samahani unayesoma uzi huu, Kama umetumiwa mzigo nimetumiwa kutoka nje simu na laptop kutoka London ila sijui utaratibu wa kibongo upoje jinsi ya kuupokea. Je unapigiwa simu au unaenda airport moja kwa moja mfano mzigo umeluja na British airways kenya afu baada ya hapo ukatumwa Tanzania...
  7. M

    uwezekano wa kupata mimba

    Habari yako wewe unayesoma uzi huu. Nina umri wa miaka 27 pia nimejaaliwa kupata mtoto mmoja tu wa kike na kwa sasa ana miaka 4 ila sijabahatika kupata mtoto mwingine nimejitahidi sana kufanya vipimo kiafya nipo vizuri maana nimefanya checkup zote, sperm analysis, semen na vingine ila...
  8. M

    Naomba ushauri nataka kununua gari

    Wakuu habari zane nimeleta uzi huu mnifumbue macho kwa hili nisije kuingia mkenge, Nataka kununua gari maana nimeendesha pikipiki kwa muda mrefu sasa imetosha bwana naomba. Ninatazamia kununua gari IST au Vitz mkononi ila changamoto inayokuja nakosa amani na madalali kwani wao wengi unakuta...
  9. M

    Mwanamke mbishi

    kwao walikubali kuwa kumuoa ila tulipo kuja kwenye suala la mahari ndo wakanizingua mahari 5mil mimi mwenyewe hata kodi ya elf 20 mtihani,basi tukaamua kuishi hivo hivo bila hata ndoa maana walidai bila hiyo pesa hamna ndoa sasa tuna mtoto mmoja ina na tayari ninimejenga nyumba hapa hapa mjini...
  10. M

    Mwanamke mbishi

    ndiyo natambulika.
  11. M

    Mwanamke mbishi

    mme na mke
Back
Top Bottom