uwezekano wa kupata mimba

mwendapole12

Member
Apr 2, 2022
21
26
Habari yako wewe unayesoma uzi huu.

Nina umri wa miaka 27 pia nimejaaliwa kupata mtoto mmoja tu wa kike na kwa sasa ana miaka 4 ila sijabahatika kupata mtoto mwingine nimejitahidi sana kufanya vipimo kiafya nipo vizuri maana nimefanya checkup zote, sperm analysis, semen na vingine ila nimejikuta blood group yangu ni AB+ na mke wangu pia wote tunafananisha blood group kwahiyo nikawa nimewahi kuambiawa kuwa nayo ni factor moja wapo ya kukosa mtoto.

Je, ni dawa gani inayofanya kutatua tatizo kama hili iwapo tutafananisha blood group ili tuweze kupata mtoto mwingine?
 
May be alikaa muda mrefu , wanasema.akijifungua wa kwanza asikae sana asubiri mwaka.mmoja au miwili ajifungue mwingine

They said ukikaa sana kinafunga au unapata usumbufu kama huo ila usichoke wewe endeleeni kutafuta tu
 
May be alikaa muda mrefu , wanasema.akijifungua wa kwanza asikae sana asubiri mwaka.mmoja au miwili ajifungue mwingine

They said ukikaa sana kinafunga au unapata usumbufu kama huo ila usichoke wewe endeleeni kutafuta tu
Hiyo elimu ya chini ya mwembe hamna kitu kama hicho
Nini kinajifunga kidirisha??
Kuna factor nyingi zinasababisha
Consultation fee inahitajika kwanza haya mambo ya kitaalamu watu tumesomea miaka mitano darasan
 
Hiyo elimu ya chini ya mwembe hamna kitu kama hicho
Nini kinajifunga kidirisha??
Kuna factor nyingi zinasababisha
Consultation fee inahitajika kwanza haya mambo ya kitaalamu watu tumesomea miaka mitano darasan
toa msaada mkuu, kaja humu kushare experience
 
Habari yako wewe unayesoma uzi huu.

Nina umri wa miaka 27 pia nimejaaliwa kupata mtoto mmoja tu wa kike na kwa sasa ana miaka 4 ila sijabahatika kupata mtoto mwingine nimejitahidi sana kufanya vipimo kiafya nipo vizuri maana nimefanya checkup zote, sperm analysis, semen na vingine ila nimejikuta blood group yangu ni AB+ na mke wangu pia wote tunafananisha blood group kwahiyo nikawa nimewahi kuambiawa kuwa nayo ni factor moja wapo ya kukosa mtoto.

Je, ni dawa gani inayofanya kutatua tatizo kama hili iwapo tutafananisha blood group ili tuweze kupata mtoto mwingine?
Habari!

Kufanana grupu la damu si tatizo kabisa. Tatizo ni pale mkeo ni grupu hasi (negative) nawe ni grupu chanya (positive).

1: Je umeweza kutanabaisha ni siku ipi ya mzunguko mke wako anaweza kupata ujauzito?

2: Je unajua ndani ya mwezi kuna siku moja tu, saa 24 tu ndo unaweza kumfanya binti/mke kuwa mjamzito?

3: Je mmeweza kupata ushauri juu ya kuikabili presha na matamanio ya kupata mtoto yasivuruge utimamu wa mifumo yenu ya afya na uzazi kwa ujumla?
 
Habari yako wewe unayesoma uzi huu.

Nina umri wa miaka 27 pia nimejaaliwa kupata mtoto mmoja tu wa kike na kwa sasa ana miaka 4 ila sijabahatika kupata mtoto mwingine nimejitahidi sana kufanya vipimo kiafya nipo vizuri maana nimefanya checkup zote, sperm analysis, semen na vingine ila nimejikuta blood group yangu ni AB+ na mke wangu pia wote tunafananisha blood group kwahiyo nikawa nimewahi kuambiawa kuwa nayo ni factor moja wapo ya kukosa mtoto.

Je, ni dawa gani inayofanya kutatua tatizo kama hili iwapo tutafananisha blood group ili tuweze kupata mtoto mwingine?
je yeye huyo mke yuko willing kupata???
 
Back
Top Bottom