Naomba kuuliza mm Nina Bsc.ed biology and chemistry nataka nikasomee utaalamu wowote wizara ya afya either degree or diploma naomba wataalamu ushauri wenu
Kama sio ya umma kwann CAG alikwenda kukagua na kwann mama Tibaijuka mmemuonea yy km sio ya umma amesema alipewa na kaka yake CCM mnakotupelika inatia huruma
PAC ni kamati ya nan? Sio kamati ya chama ni ya bunge unataka useme wajumbe wote wa kamati walikuwa hawaoni walidanganywa hizo mbinu za ccm kuhalibu akili za watu na tunataka kusikia tamko Leo kutoka kwa prof wenu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.