Recent content by Mwendachofi

  1. M

    Bei ya makadirio ya full body ya toyota premio old model

    Sijakuelewa vizuri lakini kama unaulizia gari aina ya TOYOTA CORONA PREMIO mimi ninayo nauza Tsh. Milioni Tano ni hali nzuri na inatembea. Wasiliana nami simu 0754 468 318 . Hapa Dar.
  2. M

    Gari Toyota Corona inauzwa

    Mawasiliano : 0754 468318 Mbezi beach. DSM. Bei 6,ooo,ooo Tsh. mazungumzo yapo
  3. M

    Gari Toyota Corona inauzwa

    Toyota .Corona, Premeo. Angalia picha . Inauzwa Mawasiliano: 0754 468 318 Rashid. Bei mapatano.
  4. M

    Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya CUF, Julius Mtatiro atangaza kuachana na chama hicho! Ajiunga na CCM

    Huo ndio mwanzo wa kuporomoka kwa Mtatiro. Mkumbushe yaliowapata Msabaha na marehemu Tambwe Hiza. Hawa baada ya kuhama CUF na kuhamia CCM walipewa kazi ya kufanya propaganda dhidi ya CUF. Walipowachoka ofisi yao pale Lumumba ikafungwa. Tambwe akahamia CHADEMA . Baadae akafariki. Msabaha sijui...
  5. M

    Rais Magufuli amuomba Mfalme wa Morocco amjengee Msikiti mkubwa Dar na Uwanja mkubwa Dodoma

    lakini serikali inadai kua haina dini! Au imebadili msimamo?
  6. M

    Lipumba: Mimi bado ni Mwenyekiti wa CUF, sitambui kikao cha Zanzibar

    Hebu tujikumbushe. Mara baada ya Rais Magufuli kuingia madarakani. Professor Lipumba alikwenda iku Hebu tujikumbushe. Mara baada ya Rais Magufuli kuingia ikulu, Professor Lipumba alikwenda ikulu kumtembelea. Lakini sijui alimuakilisha nani kwa sababu wakati huo alikwisha jiuzulu uwenyekiti wa...
  7. M

    CCM Revamped Undemocratic democrasy

    If democracy is siccession, why don't they allow opposition to succeed them even if CCM is beaten in the general election as in the case of last general election in Zanzibar. Clinging to power by using state organs like Police force, state security and the army is no democracy. It is dectetorshiip.
  8. M

    Unamuitaje Mume wa Shangazi?

    mume wa shangazi- BALAHAU na mke wa mjomba - MKAZAHAU
  9. M

    Wazanzibari mmelikoroga Kikatiba katika uchaguzi, sasa mlinywe

    Wazanzibari hawajalikoroga hata chembe. Walichofanya ni kumchagua kiongozi wanaemtaka awaongoze. Waliolikoroga na kuhujumu uchaguzi ni wale waliopeleka majeshi na vifaru katika mitaa ya Zanzibar na kumlazimisha mwenyekiti wa Zec afute uchaguzi bila ya kujali katiba wala sharia ya uchaguzi. Na...
  10. M

    Mzungu apiga risasi watu 9 Kanisani Marekani

    Muuwaji huyo angelikua muislamu angeshaitwa Gaidi. Lakini kwa vile si muislamu wala si Muarabu basi anaitwa muuwaji wa chuki.:angry:
  11. M

    Mahakama ya kadhi: Uhitaji wake na hali ilivyo Tanzania

    Ndugu albulushiy umetoa somo zuri lenye maelezo ya kutosha kuhusu mahakama ya kadhi. Kwa bahati mbaya wale wasioitakia mema nchi hii wataendelea kupinga tu hata kama hawana hoja ya msingi. Na kwasababu ya chuki zao binafsi dhidi ya uislamu wataendele kuziba masikio yao.
  12. M

    Kauli ya Obama kuhusu Ukristo yazua kizaazaa

    Tusisahau kua baada ya September 11 Rais wa Marekani George Bush alianzisha tena vita vya msalaba (crusade) dhidi ya waislamu na dini yao. Na hata huyu Obama anaviendeleza vita hivyo kwa kuanzisha na kuwasaidia makundi mbalimbali yanayojiita ya kiislamu. Angalia yanayotokea Libya na Syria.
  13. M

    Mwanamke ni kiumbe katili kuliko hata unavyofikiria

    Ndugu Kumbuka aliyekuzaa, akakulea mpaka ukaweza kuandika maneno hayo ni huyo mwanamke unaemsema vibaya.
  14. M

    Tupe maoni yako kuhusu amri ya mahakama ya kubomoa gorofa 12 za lile jengo karibu na ikulu

    Na ile wizara ya ardhi mbona ipo karibu na ikulu na ina zaidi ya ghorofa sita. Jee nayo itapunguzwa?
Back
Top Bottom