Asanteni wadau kwa ushauri na kunipa moyo. Kwa wale wenzangu wote ambao bado hatujapata ajira kama mimi, tusikate tamaa tuendelee kupambana, ipo siku. Nimepokea pia mawazo ya plan B eg kupanda miti etc.
Shukrani pia ziwafikie hao washkaji zangu hasa wale wa Dar, muendelee kuwa na moyo huo wa...
Pale ambapo upo mkoani na unapambana kupata ajira, halafu unapata interviews za Dar mara kadhaa, na unafikia kwa washikaji zako huko Dar ambao kiasi fulani maisha wameyaweza.
Ni wa umri wako, wengine hata classmates. Unakuta wana mijengo saafi, usafiri, unakaa pale comfortably unakula...
Asante mkuu kwa ushauri
Ni sawa, ila kumbuka kutoka kwa mtoto Kuna msaada wa nguvu ya ziada ya homoni za uzazi ndiyo maana kichwa huweza kupita. Sasa unapomuingizia mkono bila kuwa homoni zimesaidia ni kero Fulani.
Ndugu wataalamu wa afya na wanajamvi kwa ujumla, nianze kwa salaam.
Kama tunavyojua kuwa mama mjamzito akiwa katika hatua za mwisho kukaribia kujifungua, wataalam wa afya huwa wanapima njia ya uzazi ili kujua imefikisha cm ngapi. Njia ambayo imekuwa ikitumika kwa mujibu wa wife...
Hilo nafahamu mkuu, ila kuna baadhi ya taasisi ambazo sijawahi kuona matangazo ya kazi zao utumishi. Ndiyo maana najiuliza kuwa kazi kwenye hzo taasisi zinapatikana kwa namna gani?
Ndugu wanajamvi, habarini za majukumu. Kutokana na wimbi la uhaba wa ajira na hasa ajira za Serikali, baadhi ya vijana wameonekana kukata tamaa juu ya ajira hizi za serikali.
Wengi huwa tunaomba kazi za serikali pale zinapotangazwa na hatujawahi kubahatika kuajiriwa.
Najaribu kufikiria kutuma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.