100% kweli ni mstarabu sana. Wanao mtafsiri vibaya hawakumsikiliza .Mtoa mada mwenyewe amepotosha baadhi ya maneno.Mi naona niwivu tuu. Tuache mawivu wajamani.Silinde ni hazina kubwa kwa taifa hili, yafaa tumtie moyo zaidi kuliko kumkatisha tamaa.
Kwa kweli nilidhani Ethiopia ni nchi ilostarabika lakini kwa hatua inazochukua, ni hatua za kizamani sana, ulimwengu wa sasa ni wa wastaarabu, wastarabu wanaamini katika diplomasia kusuluhisha migogoro,jeshi ni hatua ambayo hufuata mwishoni baada ya kila option kushindikana ,utadhani ni kipindi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.