Nakumbuka mwaka 2012 nikiwa Sumbawanga nilikuwa maeneo ya majengo jamaa walinikuta kwny nyumba ya mm angu mkbw wakatukamata kufika kule wakatubambikizia kesi ya uzembe na uzurulaji na nilikuwa siku ya jmosi ikabidi nilale nikatoka jpili ila kule sio kuzuri ndg zangu usiombee kwenda
Sent using...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.