Da Lu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2016
- 1,209
- 2,841
Ni kweli kabisa kituo cha polisi msimbazi waliona kisa cha kipumbavu.gahawa hii mkuu
Ni kweli kabisa kituo cha polisi msimbazi waliona kisa cha kipumbavu.gahawa hii mkuu
Niliwahi kuwekwa mahabusu kwa kupiga mawe Gari la Chadema wakitoka kwenye mkutano.

Ndichi,sero,sege dansi,ubaya ubayani..noma siku moja tu lakini ilikua kama wiki.hatare sana hakuna hata kujua ni saa ngapi humo.Umewahi kuwekwa korokoroni, Mahabusu, au kuhukumia kabisa?
Hebu tushirikishe, ilikuwaje.
Binafsi nimewahi kukaa Mahabusu mara kadhaa.
Nitaelezea....
Pole mkuuNiliwekwa lock up pale mbezi kwa Yusuph daah lockup isikie kwa mwingine.
DuuhNiliwahi kuwekwa mahabusu kwa kupiga mawe Gari la Chadema wakitoka kwenye mkutano.
Lupango...Ndichi,sero,sege dansi,ubaya ubayani..noma siku moja tu lakini ilikua kama wiki.hatare sana hakuna hata kujua ni saa ngapi humo.
Nakumbuka mwaka 2012 nikiwa Sumbawanga nilikuwa maeneo ya majengo jamaa walinikuta kwny nyumba ya mm angu mkbw wakatukamata kufika kule wakatubambikizia kesi ya uzembe na uzurulaji na nilikuwa siku ya jmosi ikabidi nilale nikatoka jpili ila kule sio kuzuri ndg zangu usiombee kwenda
Sent using Jamii Forums mobile app
waliwaonea sana...