Aiseee,kipindi tupo kinondoni Muslim by 2002 jamaa yetu mmoja alimleta demu wake ndio awe mzazi,moja alipigwa mboko sita Na demu wake Pili kuna mwalimu alifika bei mpaka Leo anaishi Na yule demu
Jamani tutofautishe watu wanaookota pesa chini Na wanaoumiza vichwa kubadilisha fedha kuwa bidhaa halafu pesa.huko kaskazini asilimia 70 ya matajir ni wamiliki Wa mashimo.huku kwetu ni wapasua kichwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.