Recent content by mwasitrump

  1. mwasitrump

    JamiiForums Tanzania Yupi ni straika (namba 9) unayemkubali kwasasa Duniani?

    Kane...Suarez...Piere emerick..Aguero..Firmino(although hamumpi heshima anayostahili)...
  2. mwasitrump

    JamiiForums Tanzania Hawa nyoka sasa wamezidi mpaka ndani sasa.

    Ata kwetu wapo jamani kukiwa tu na kakichaka na miti ni shida navowaogopa siku akiingia ndani namimi nahamia kwa jirani ata kama kidume..
  3. mwasitrump

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimeambiwa sina kibamia ila nina kinyanya chungu

    Nitafute nikusaidie ndani ya mwez mmoja tu utakua mashallah!!
  4. mwasitrump

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mazingira gani ya hatari uliwahi kufanya mapenzi?

    Kwenye bus
  5. mwasitrump

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilizalishwa na kudhalilishwa

    Mtu kakufanyia yote hayo bado unamfikiria ata umjibu nini aisee wewe utakua unampenda bado..
  6. mwasitrump

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke na Mama mkwe wananunanuna na wapo nyumbani kwangu

    Lazma kuna kitu umemkosea mkeo ata kama hajakwambia jaribu kumueka karibu akwambie kwanni ananua sizani kama wanaweza kununa bila tatizo lolote, kufikiria tu kumtia mkweo ni laana na inaonekana huna shida na ndoa yako kama unaipenda ndoa yako kwel na unampenda mkeo acha kufikiria huo upuuzi...
  7. mwasitrump

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni sahihi kwa mwanaume kumueleza mke mapato yake yote.

    We timiza majukum yako na uhudumie inavotakiwa familia kama mke atataka ata kujua mshaharaa wako..
  8. mwasitrump

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kuishi na mke kunataka uvumilivu wa chuma

    Kweli ndoa sio masebene akili za ziada zinatakiwa na uvumilivu wa hali ya juu..
  9. mwasitrump

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baada ya Hali kuwa Mbaya

    Hahahhaah
  10. mwasitrump

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mbinu rahisi ya kumnasa SINGLE MOTHER ni kumzoea mtoto wake, hana ujanja.

    Hahahhha! Ni kweli
Back
Top Bottom