Baada ya Hali kuwa Mbaya

Baada ya Hali kuwa Mbaya

DR HAYA LAND

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
32,105
Reaction score
82,689
Habar zenu..

Niende moja kwa moja kweny point.

Wadada wengi siku hizi na vijana wakiume ..baada ya hali yakiuchumi..
Kuwaendea tofauti ..

Wameona wajiliwaze na maneno kama

Mwanaume machine
kibamia

Zamani kabla ya uchumi kubana ulikuwa uwezi kuwasikia watu wakisema maneno hayo ... Sasa leo hii wadada baada yakukosa Soko kabisa wamekuja na gia yakibamia ...wakishilkiana na waganga wakienyeji kwa kusema mwanaume..mashine...lakini uko nyuma..mambo yalipokuwa safi ilikuwa ni nadara kusikia habar hizi popote pale..

Sasa wadada wengi wamejikuta wakirudi Enzi zao zakupenda wavulana wao wa mtaani wachota maji na wabeba mkaa ..

Huku wakijiliwadha kuwa wamewapendia mashine ...jamani hatar hiii dada zangu ....

Hapo hapo waganga wakienyeji wameona waitumie iyo fursa kusema wanadawa yakuongeza dushelele..

Haaaaa maisha yakiendele kuwa hivi tutaona mengi...
 
Kama una kibamia mkuu usitafte pa kujitetea pambana tuu na hali yako
 
Back
Top Bottom