Recent content by Mwasisi

  1. M

    Nisaidieni, hivi mwalimu anaruhisiwa kujiunga na chama kingine cha walimu tofauti na CWT?

    Ndugu zangu wana jukwaa,ni matumaini yangu kuwa ni wazima na mnaendelea vyema na mapumziko ya mwishoni mwa wiki. Ndugu zangu mimi ni mwalimu katika moja ya wilaya katika mkoa wa Rukwa. Siku ya Mei mosi 2016, tulisikiliza hotuba ya Mheshimiwa Rais Magufuli hasa aliposema vyama vya wafanyakazi...
  2. M

    Pendekezo la Maridhiano Juu ya Lowassa (A Proposal on Compromise): Kutoka Hapa Kwenda Kule...(2015)*

    ushauri Mzuri Sana, kweli nimeamini rais Wangu wamoyoni DR Slaa anaona mbali, viongozi Wangu fuateni ushauri wa mwanakijiji, tumalize holi tuendelee na kumnadi lowasa
  3. M

    Naomba samahani kwa niaba ya wafanyakazi wa Tanzania!

    we gamba tulia na propaganda za kitoto October ndo tutajua wamesusa au bado
  4. M

    CHADEMA yavifunika vyama vyote vya siasa nchini

    Ni kweli kabisa cdm iko katika moyo wa kila mtanzania anayetaka mabadiliko ya kweli ya kuondakana na mafisadi sisiem,nikiwa kwenye maombi jana ,nimeoteshwa kuwa cdm ipo kwenye pepeto kuu,Mungu anapepeta magugu na ngano,lazima ngano safi ibaki
  5. M

    Utumishi wa Umma na Siasa: Wenye Nafasi za Uongozi katika CCM na Serikalini/Taasisi za Umma

    Peter msanjila,mwenyekiti wa uvccm mkoa wa kigoma,na mwalimu wa shule ya sekondari ya kata gungu
  6. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Vipi ndugu yangu huwezi kuja manispaa ya kigoma mjini, mi nataka nije moro ila hapa manispaa kuna mtu anataka kuhamia kutokea kasulu,tubadilishane
  7. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mi ni mwalimu sekondari manispaa ya kigoma natafuta mwalimu wa kubadilishana nae kutoka mbeya,morogoro,pwani,iringa, dodoma,kwa aliyetayari naomba ni pm
  8. M

    Kwa Mshahara huu CCM msitafute Mchawi

    Si kwamba kila mwalimu alifeli,kuna walimu wenye 1,2,wenye 3 kama hao wa kwenye afya na kilimo,kuna walimu wamemaliza vyou vikuu tena vya serikali na GPA NZURI nawaomba tusiwapuuze walimu,hivi mtu anayesomea unesi ana ufaulu gani si d ya biology
  9. M

    Live Updates: Uchaguzi wa Kata nne Arusha tarehe 14 July 2013

    Mwemwemwe,Kyala atikulonda isyo
  10. M

    Shule ya bure kwa First class Economist, Mwigulu

    ccm chama changu kama mtaendelea kumtumia mwigulu kama mnanyomtumia sasa basi mjue inchi tunaipeleka pabaya,mwigulu ni audui wa amani na utulivu wa nchi yetu waccm wote popote tulipo tumkatae,vyama vyote vina haki na kuwa vyombo vya ukakamavu
  11. M

    Kwa hili Mkurugenzi Mwanza-Jiji hututendei haki...

    Hata huku kigoma manispaa hali mbaya mwezi wa 5 mshahala ulitoka tarehe 10 ,mwezi huu mpaka mda huu hali mbaya,sijui tunaelekea wapi?
  12. M

    Picha: MTANGAZAJI JOYCE KIRIA AOMBA AFAHAMISHWE ALIPO MUMEWE HENRY KILEO..

    Pole sana mama , mungu yupo nawe.ukiona shida zinazidi ujue neema inakuja,ukombozi wa nchi yetu u karibu mno,baada ya haya magum wanayopitia viongozi wa cdm.mume wako na wangine ndio wataitwa mashujaa wa taifa, pole kwa kipindi hiki kigumu
  13. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Jamani mi mwenyewe ni mwalimu sekondari huku kigoma manispaa natafuta mtu wa kubadirishana naye wa mikoa kama dodoma,iringa ,mbeya,morogoro na pwani,kwa yoyote aliyetayari tuwasiliane kwa namba 0768860808
  14. M

    Mbinga: CCM chali, CHADEMA kidedea

    viva cdm endelea kuchanya mbuga,wananchi wamechoka na wahujuma nchi yetu,kila mahali hali mbaya si vijijini wala mjini, elimu ya nchi yetu hali mbaya,huduma za maji ,umeme,afya ,miundo mbinu n.k kote hali mbaya,
Back
Top Bottom