Siasa ni siasa sasa hivi ukiongea kitu chochote unaambiwa ni siasa je tunaenda wap? Kwan kwa miaka hii kila mtu anajiona ni bora kiliko mwenzie
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Wao Jeshi walisema wapo kwenye mazoezi na wakawaambia Wananchi wasiwe na hofu waendelee na shughuli zao kama kawaida ,hapo huwezi kuwadai Chadema au kuwafungulia mastaka
dawa yake ni kuwa kimyaa tu hamna jinsi kwan hata ukipiga kuna wengine inakuwa kama unaingiza gia,kuna jamaa naye alishatoa uzi kama huu yy alisema kapiga kachoka,kilichofatia ni kuwa kimyaa na akilala anastuka kutoka usingizin na bado anamkuta anaongea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.