Hakuna faida yoyote itakayopatika kama serikali itanunua hizo korosho.faida ya shughuri nzima ya ununuzi kwa wafanyabiashara ni kubwa mno ambayo kimsingi ni direct &indirect
1.kodi
2.ajira za madereva na wasaidiz wao
3.fursa za biashara mtambuka i.e mama lishe,nyumba za wageni,vibarua wadogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.