wakuu msaada wenu nimedownload tally v7.2 na patch yake bt nmeshndwa kujua jinsi ya kuapply patch hhvyo kila niki-open inanidai id na pasword. Help please
Wakuu kuna website inajitokeza kila napotaka kufungua Facebook na yenyewe kuingilia kati na kujifungua
Naombeni msaada wenu plz kwani nakereka sana. mtandao wnyw unaojitokeza ni CAMOLIST.COM
Wakuu nashindwa browse youtube kabsaa nadhani ISP kaibania naombeni msaada wenu jinsi ya kutatua hili tatizo ili niweze browse vitu mbalimbali katika hii website.
Nikiiunga kwenye pc haiwi detected mkuu. hivyo siioni kwny my computer. Ingekua inaonekana ningejaribu kutumia software za ku recover files. Hvyo msaada zaid wakuu
Nina external hard disk ya 160Gb sata ambayo nimeifungua kwny case yake ina ka-port kadogo ka usb ndogo, imeshindwa kurespond na data zangu za muhimu sana ziko ndani. Nini cha kufanya maana hata kuiconnect kwenye pc haiwi detected. Msaada wenu please niweze okoa data zangu za muhimu.
Wadau laptop yangu yenye windows xp imeshambuliwa kila nikijaribu fanya chochote hata kwny control pannel sms hii inajitokeza mbali na kufanya jitihada mbalimbali but nmekwama, 'Windows cannot find "C:\WINDOWS\system32\rundll32.exe'
Nimejaribu options km
- scf/scannow + xp cd
- Nimerun...
Nimekupata mdau kwa msaada na ushauri wako mimi nataka badili setting zilizokuwepo maana nkiiunga kwny modem cpati internet inatoa msg ya kwamba failed to communicate with dns. nlipochek na isp wetu akanambia nbadili dns adreses ss cko cjawah fanya setting yeyote ktk router ngoja nptie hz link...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.