Recent content by MWANZA_MWANZA

  1. MWANZA_MWANZA

    Chipukizi Wing CCM ni kinyume cha Sheria?

    Ni sheria ipi inayoruhusu watoto wadogo kupelekwa Sunday School au Madrasa
  2. MWANZA_MWANZA

    Ili kuvunja circle ya umasikini tuliyo nayo watu weusi ni muda sasa tuzingatie "FAMILY BUSINESS"

    Hata vitabu vya dini vinasema,utajiri wa kweli ni ule unaorithiwa kizazi hadi kizazi.
  3. MWANZA_MWANZA

    Ili kuvunja circle ya umasikini tuliyo nayo watu weusi ni muda sasa tuzingatie "FAMILY BUSINESS"

    Na siku hizi Wazazi tumekuwa wavivu,eti urithi wa Mtoto ni Elimu,Elimu sio Mali.Mo Dewji angepewa Elimu pekee bila Mali labda leo tungekuwa hata hatumjui.
  4. MWANZA_MWANZA

    Nadhani Chongolo na Kinana wanashangaa tu!

    Hawana shida nae ilimradi tu ailetee kura CCM
  5. MWANZA_MWANZA

    Hotuba ya Rais Kikwete kuliaga Bunge - 09, Julai 2015

    Kwenye Hotuba baada ya Nyerere ni Jakaya.Kuna ile ya siku ya Mazishi ya Mandela noma kabisa.
  6. MWANZA_MWANZA

    Dkt. Slaa amerudi rasmi kwenye viwango vya juu vya siasa Tanzania; kuvuliwa Ubalozi kumempa umaarufu kuliko ubalozi wenyewe

    Dr.Slaa ana uwezo wa kuibomoa CDM 2025, tayari ameshawachukua Mdude na Mwambukusi.
  7. MWANZA_MWANZA

    Israel yashambuliwa

    Kufuatia shambulizi la Wanamgambo wa Palestina dhidi ya Taifa la Israel lenye Jeshi kamili,je nguvu za Israel zimeanza kupungua?,au Marekani imeacha kuilinda Israel.
Back
Top Bottom