Njoo ujenge plant ya kuchenjulia marudio ya dhahabu utakuwa unakodisha kwa mwezi milion 4 na gharama ya kujenga plant nzuri ni kuanzia tshs 40,000,000, Kuna miezi plant zinakuwa bizy wateja wanapangwa wakisubiri aliyewahi atoke aingie mwingine
Namtafuta dada yangu Rafia, na mdogo wake Hussein wapo dar es salaam wanitafute kwa email allygibu3@gmail.com
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Ndio kaomba ndege zisizo na rubani na zinginezo kwa china auziwe maana shughuli maana shughuli imekuwa ngumu kwake
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Sio kweli hapo mwishoni tayari wanajeshi wa urusi wameshakufa zaidi ya 7000 na urusi kaishiwa baadhi ya silaha ameomba auziwe zingine na china, na pia FBI wametanga kuwa putin vita imeshakuwa ngumu kwake ila anaendelea kukomaa kuondoa aibu kwa mataifa makubwa yasione ameshindwa vita,
Fact mkuu ndo tuamini usitupeleke Kama maccm na rangi zao za kijani toa vielelezo Kwanza Kama mwenzio kwakuwa sio ugomvi maana wewe unaonekana una wivu kupitiliza wahenga wanasema kikubwa kuomba uhai
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.