Mazingira wanayatengeneza wenyewe. Kwani kuwa mtumishi wa Umma ni utumwa? Mtu anaomba uhamisho kwa kufuata utaratibu then mtu mmoja anakalia barua pale TAMISEMI.
hii pia inatokana na kujihami watu wasikugundue upo ktk hali gani, lakini jaribu kutumia maji mengi ya vuguvugu yatakusaidia kukata hasira lakini pia husaidia kuondoa ule uchafu kwa haraka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.