Ndugu zangu wa jukwaa hili la afya...samahani kwa usumbufu..lakini nimejikuta nna tatizo ambalo sio siri linanisumbua sana. Tatizo lenyewe hutokea pale nnapokuwa katika mzunguko wa siku zangu mala nyingi huwa nnakuwa out of control maana nnakuwa na hasira kali kwa kila mtu hasa wale wa kalibu yangu! Tatizo hili limekuwa tishio kwangu maana watu wanashindwa kunielewa na wengine wamekosana na mie na kuniacha katika majuto makubwa sana!
Ndugu zangu nnaomba kama kuna mtu anajua jinsi ya kutatua tatizo hili labda kwa dawa flani au kwa njia ya kisaikolojia basi anisaidie ili namie niwe wa kawaida!
Nawasilisaha!
Ndugu zangu wa jukwaa hili la afya...samahani kwa usumbufu..lakini nimejikuta nna tatizo ambalo sio siri linanisumbua sana. Tatizo lenyewe hutokea pale nnapokuwa katika mzunguko wa siku zangu mala nyingi huwa nnakuwa out of control maana nnakuwa na hasira kali kwa kila mtu hasa wale wa kalibu yangu! Tatizo hili limekuwa tishio kwangu maana watu wanashindwa kunielewa na wengine wamekosana na mie na kuniacha katika majuto makubwa sana!
Ndugu zangu nnaomba kama kuna mtu anajua jinsi ya kutatua tatizo hili labda kwa dawa flani au kwa njia ya kisaikolojia basi anisaidie ili namie niwe wa kawaida!
Nawasilisaha!