Recent content by Mwansembo elly

  1. Mwansembo elly

    Kuuza na kukodisha movie: Biashara simple faida kubwa

    Nampata uyo mwamba yupo pale shopaz unapewa na pipi kabisa Jamaa sababu za kuwa mteja wake nilienda kumuomba anichajie simu yangu ilizima…Vile alinipokea nikanunua chaji na kuweka movie tatu akanipa na moja Bure oyaaaaa Jamaaa wako vizuri sana[emoji91]
  2. Mwansembo elly

    MSAADA: Mafao ya NSSF

    Ni kweli mkuu fax kutumwa na kurudi kwa majibu ni kitu cha muda mfupi, ila sasa tatizo wanapenda kuweka miezi mitatu ili washughulikie kwa wingi ili wakiwatoa wanawatoa kwa bulk..ila kwa mikoa ambayo haina wanufaika wengi ni haraka sana kupata kuliko yenye wanufaika wengi kama Dar na Arusha na...
  3. Mwansembo elly

    MSAADA: Mafao ya NSSF

    Inawezekana ndio cha kufanya unaenda tawi la nssf karibu yako na documents zako zote....kisha wao wanakitengo kinaitwa benefits kipind wana verify michango yako watakuta hawana taarifa zako za malipo kwao katika records zao, ndipo wataangalia namba ya mwajiri wako watakuta ni mkoa mwingine wao...
  4. Mwansembo elly

    Jinsi teknolojia ya Motion capture inavyofanya kazi kwenye utengenezaji wa filamu

    Asante sana kaka nitaangalia hili swala la malipi teh teh tehe
  5. Mwansembo elly

    Jinsi teknolojia ya Motion capture inavyofanya kazi kwenye utengenezaji wa filamu

    Elimu ya kulipia kabisa iiii unaipta bure bless sana mkuuu napenda sana ule uzi unaelezea maswala ya ntrovert kitu kama iko niliusomaga zamani sikumbuki ulipo ila somebody davinc kama ni wewe please naomba link
  6. Mwansembo elly

    Paul Makonda ashindwa kufika Mahakamani katika kesi inayomkabili. Kesi yaahirishwa hadi 08 Feb 2022

    Juz ( i mean siku si nying) nilimuona Barabarani maeneo ya kirombelo opposite na shopaz mitaa ya Arusha akiwa ndan ya Range sport nyeupe namba D piruuuuuuuu
  7. Mwansembo elly

    Ushauri kwa wadogo zangu, kaka na dada zangu wanaotaka kukata tamaa kisa wamefeli Kidato cha Nne

    Hahahahahaha mkuuu nimecheka sana nashukuru kwa kusahihisha
  8. Mwansembo elly

    Ushauri kwa wadogo zangu, kaka na dada zangu wanaotaka kukata tamaa kisa wamefeli Kidato cha Nne

    Habari wakuu wangu wadogo marahaba wakubwa shikamooni. Kwanza natanguliza shukurani zangu dhati kwa wote mliopitia hapa na kusoma uzi huu. Leo napenda nitoe ushauri kwa wadogo zangu kaka zangu dada zangu mliomaliza Form four na matokeo kuja tofauti yaaani kufeli kupata four au zero kabisa...
  9. Mwansembo elly

    Mnaopenda hadithi pateni story ya Shkuba - Drug Lords

    Story nzuri lugha inachosha
Back
Top Bottom