Recent content by Mwaniex

  1. Mwaniex

    House4Sale Nyumba inauzwa!!! House for sale!!!

    Kaka haina mgogoro?
  2. Mwaniex

    Kwa kipato hiki nianzie wapi ili kumiliki nyumba

    http://www.the-most-beautiful-business-on-earth.com/ Please find that book. If you realy have ambition t o the biz but still having a fear.. Avoid kukaririshwa Nzalendo
  3. Mwaniex

    Kwa kipato hiki nianzie wapi ili kumiliki nyumba

    Mh...Hallo kipato chako ni cha kawaida sana. Sio kikubwa wala kidogo. Mpangilio wa kutimiza ndoto zako upo na utaendelea kuwepo.. Kwa 2m unaweza kujenga au usiweze kutegemea unataka nyumba ya aina gani. Chumba na sebule ni miezi kadhaa tu unajenga. Lkn kwa nyumba std ya vyumba vitatu sebule...
  4. Mwaniex

    Whatsapp calling activation

    Thanx. Ime unganishwa vizuri. Na inafanya kazi. God bless u usiye mchoyo wa mambo mazuri
  5. Mwaniex

    Kambi ya Lowassa ina hofu kuu na Magufuli, Sababu hizi hapa

    Baada ya kusoma nyuzi hizi za kuwapambanisha wanachama wanaodhaniwa kugoimbea urais kwa tiketi ya CCM nimegundua kuwa nyuzi zote zinasumbua vichwa vyetu tu. Thread zinakuwa ndeeeefu ukiangalia ni watu wanne tu wanaobishana. Hivyo naamini kuwa hawa jamaa unaweza ukawaalika msibani ili wakalie...
  6. Mwaniex

    Hakuna atakayeachia ngazi sakata la Escrow

    Faiza labda unijibu swali langu lifuatalo: 1. Kukiwa na kosa/kesi yoyote yenye watuhumiwa saba kisha hukumu ikatoka wawili wakaachiwa huru na watano wakafungwa, kwa nini huwa hatusemi wote waachiwe kwa kuwa watuhumiwa wawili wameonekana hawana hatia?
  7. Mwaniex

    ESCROW imenikosesha gemu ivi ivi

    We mzembe...na inabidi ubadili jina lako la chuma cha reli. Bora ujiite utando wa buibui.
Back
Top Bottom