Uisilam ni Dini ya haki, kwa Nini waislam wenyewe kwa wenyewe mnafanyiana hivi? Hii yote kwa ajili ya uroho wa madaraka, halafu Bado viongozi wa dini wamekaa na watakaa kimya.
Hivi unazani mleta maada CCM ilichokifanya Nini miaka yake yote,zaidi ya kuiba na kujilimbikizia Mali viongozi,ndio maana siasa wameifanya Kama biashara,kwa Nini wanalazimisha kushinda Kila siku,kwa Nini hawataki time huru
Shekhe wa kweli ni shekhe Ponda peke yake, aliyejipambanua toka mwanzo kutetea haki na anajulikana ni mpambanaji juu ya dhuluma wanazofanyiwa wiisilam hao wengine ni masheikh maslahi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.