brightoscar
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 360
- 517
Kulingana na kampeni zao nimeona CHADEMA wamekuwa na matumaini makubwa kupata kura nyingi katika uchaguzi huu mkuu. Ila kwa watu wenye upeo na wenye uwezo wa kuona mbali tunajua mgombea wao hatafikisha hata kura milioni 3 akipata sana 2.8 milioni ambapo hatafikia hata nusu ya kura alizopata Lowassa.
CHADEMA ningependa kuwashauri uchaguzi ujao mjifunze kutoka CCM kuandaa wagombea maana wagombea wenu ni yule anayeibuka tu hana maandalizi yeyote hajui kuwaambia Watanzania atawafanyia nini zaidi ya kutafuta sympathy za watu tu.
Hata kama angeshinda hakuna watu wa kutengeneza serikali kutoka CHADEMA hakuna watu wenye sifa hata za kuwa wakuu wa mikoa sembuse kuongoza wizara.
Jamani kuongoza nchi sio kitu cha kubahatisha nchi haiwezi kuongozwa na chama ambacho ofisi zake imepanga mtajengea nchi nini kama kujenga ofisi na ruzuku zote mnazopata mmeshindwa.
Wanachadema wote jiandaeni kisaikolojia kupokea matokeo mgombea wenu hatafikisha hata 20%.
CHADEMA ningependa kuwashauri uchaguzi ujao mjifunze kutoka CCM kuandaa wagombea maana wagombea wenu ni yule anayeibuka tu hana maandalizi yeyote hajui kuwaambia Watanzania atawafanyia nini zaidi ya kutafuta sympathy za watu tu.
Hata kama angeshinda hakuna watu wa kutengeneza serikali kutoka CHADEMA hakuna watu wenye sifa hata za kuwa wakuu wa mikoa sembuse kuongoza wizara.
Jamani kuongoza nchi sio kitu cha kubahatisha nchi haiwezi kuongozwa na chama ambacho ofisi zake imepanga mtajengea nchi nini kama kujenga ofisi na ruzuku zote mnazopata mmeshindwa.
Wanachadema wote jiandaeni kisaikolojia kupokea matokeo mgombea wenu hatafikisha hata 20%.