Recent content by mwandorobo

  1. mwandorobo

    Wanaume wa JF bana, eti mtu anatumia dakika 15 hadi 20 kuoga, 🤣🤣

    si ndio hapo sasa hajui sis wengine tunaoga na kunya kwa wakat mmoja, choo ndo bafu hiyohoyo, sasa utanipangiaje kwamba nitumie dk tano
  2. mwandorobo

    Wanaume wa JF bana, eti mtu anatumia dakika 15 hadi 20 kuoga, 🤣🤣

    Mimi choo na bafu vipo pamoja, nikiingia napiga uraia wa nchi mbili we utanihesabiaje dk 5 hapo hazitoshi buana
  3. mwandorobo

    Katiba ya Tanzania irekebishwe kuwe na sifa kuu ya kuwa Mbunge iwe Msomi wa Sheria,Uchumi, Maendeleo ya jamii na maswala ya fedha!

    Sio lazima wote tugombee lakin tuñachotaka reform zifanyike kwa manufaa ya vizaz vyetu, hatuwezi kuwa sawa kuwa na mbunge wa kusoma na kuandika kuna issue ni technical zinahitaji reasoning kubwa na sio kushabikia tu bungeni, ndo maana inafika wakati mikataba y hovyo inapitishwa na vilaza bungeni...
  4. mwandorobo

    Simba wana sababu za msingi na zisizo za msingi kutoleta timu June 25

    Mimi haya matimu nimeshaachana nayo wakuu
  5. mwandorobo

    Kilimo cha matikiti, ulifanikiwa, wapi ulifeli?

    Ni kweli kabisa ni kama kubahatisha
  6. mwandorobo

    Kilimo cha matikiti, ulifanikiwa, wapi ulifeli?

    Hapana usiweke neno "never again" sometimes kilimo hiki tunalima ni bahati japo inatesa unaposikia kuna mtu huko kapiga mshindo wakat wew unalia
  7. mwandorobo

    PreGE2025 Hizi baiskeli zimetoka wapi, na kwanini zigawiwe kwenye kuelekea uchuguzi tu?

    Hapo sijaelewa watakuwa wanapewa kama namna ya zile pikipiki zao kwamba unaitumia japo inaendelea kutambulika kama mali ya chama, au wanapewa mazima
Back
Top Bottom