Mkulima analia.
Mfanyabiashara analia.
Mtumishi wa umma analia.
Wapi penye nafuu?
[emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna lolote. Hakuna cha bilioni 600 wala nini. Waziri alishatoa matamko mengi kama hayo na hakuna lililotekelezwa. Kifupi watumishi wamekata tamaa maana hata haki zao za msingi kama increments nazo zimezuiwa. Na kama uhakiki umemalizika kipi kinachomzuia kutoa tamko linaloeleweka?
Sent using...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.