Barikiel
JF-Expert Member
- Feb 2, 2014
- 403
- 401
Habarini za Leo ndugu zangu wa Tanzania wenzangu na wana Mwanza wote.
Siku mbili tatu zimepita nilileta malalamishi humu ndani kuhusu mauaji yanayoendelea Jijini Mwanza hususani maeneo ya Nyegezi na vitongoji vyake.
Leo ilikuwa ndio siku ya kuuaga mwili wa mwenzetu aliekutwa na umauti, Bwana Agapiti Malya.
Pia nipongeze Jeshi letu kwa Polisi taarifa tuliyoisikia leo kwenye vyombo vya habari ya kuwa wauaji wameshakamatwa. Pia haitoshi kujiridhisha kwa taarifa hiyo lazima wananchi waendelee kubeba tahadhari kila watokapo majumbani alfajiri pia warejeapo majumbani kwao muda wa usiku.
Nasema hivi kwa maana ya kuwa wauaji lazima watakuwa na cheni kubwa. Siamini kama watu wawili au 3 wanaweza kufanya matukio hayo eneo lote hili Nyegezi, Mokolani, mpaka Buhongwa.
Kwahiyo tahadhari ni muhimu.
Mwisho tuwa ombee Familia na ndugu wanao kwenda ku safiri kwa ajili ya kupeleka Mwili wa bwana Mallya kwenda kule mkoani Kilimanjaro kwa maziko.
Mwenyezi MUNGU awatangulie mfike salama na mrudi sakama Amina. R I P. Agapiti Malya.
Siku mbili tatu zimepita nilileta malalamishi humu ndani kuhusu mauaji yanayoendelea Jijini Mwanza hususani maeneo ya Nyegezi na vitongoji vyake.
Leo ilikuwa ndio siku ya kuuaga mwili wa mwenzetu aliekutwa na umauti, Bwana Agapiti Malya.
Pia nipongeze Jeshi letu kwa Polisi taarifa tuliyoisikia leo kwenye vyombo vya habari ya kuwa wauaji wameshakamatwa. Pia haitoshi kujiridhisha kwa taarifa hiyo lazima wananchi waendelee kubeba tahadhari kila watokapo majumbani alfajiri pia warejeapo majumbani kwao muda wa usiku.
Nasema hivi kwa maana ya kuwa wauaji lazima watakuwa na cheni kubwa. Siamini kama watu wawili au 3 wanaweza kufanya matukio hayo eneo lote hili Nyegezi, Mokolani, mpaka Buhongwa.
Kwahiyo tahadhari ni muhimu.
Mwisho tuwa ombee Familia na ndugu wanao kwenda ku safiri kwa ajili ya kupeleka Mwili wa bwana Mallya kwenda kule mkoani Kilimanjaro kwa maziko.
Mwenyezi MUNGU awatangulie mfike salama na mrudi sakama Amina. R I P. Agapiti Malya.