figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,491
- 54,884
Kagera: Taharuki imetanda katika shule ya msingi St Joseph Rutabo iliyopo Kamachumu, wilayani Muleba baada ya mabweni ya wanafunzi kuungua moto
Mabweni matatu ya wanafunzi shule ya msingi st Joseph Rutabo iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Muleba yameungua moto usiku wa kuamkia leo na inadaiwa Mwanafunzi wa darasa la tano ameungua moto na kufariki. Wanafunzi wengine wanaendelea vizuri. Inasemekana moto huo umetokana na hitilafu ya umeme
Stay tuned..
Mabweni matatu ya wanafunzi shule ya msingi st Joseph Rutabo iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Muleba yameungua moto usiku wa kuamkia leo na inadaiwa Mwanafunzi wa darasa la tano ameungua moto na kufariki. Wanafunzi wengine wanaendelea vizuri. Inasemekana moto huo umetokana na hitilafu ya umeme
Stay tuned..
Last edited by a moderator: