Tuna tatizo hapa!!
Je mheshimiwa hajaguswa na hali ilivyo sasa ukizingatia kuwa, ana ndugu, jamaa, na marafiki (hata wapiga kura wake) ambao kwetu huduma tuzipatazo hapo MNH ni za umuhimu wa hali ya juu kiasi kwamba hii chelea chelea inatupotezea maisha ya nguvukazi yetu!!Kipi chahitaji busara...
Lugha inayotumiwa na T. Muganyizi kama ingekuwa inaeleweka na wengi, ingetufaa sana katika kuchangia/kuelewa mchango wake. Tafadhali tusaidie katika hili.
Good Idea kama kweli hakufukuzwa CDM!KFLL should then be double careful in what he talk. Plain Talking at times has its own costs. Be bold and stand firm.
There is no seriousness at all. Let him do away with his tenure and find another strong, committed and responsible candidate who will take this nation to the next level. For over six years in power the living standard of majority Tanzanians is still in limbo, and he is neither bothered for that...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.