HT
JF-Expert Member
- Jul 29, 2011
- 1,897
- 414
Wapenzi wana JF, wote ni mashuhuda wa jinsi RTD kisha TVT na then TBC ilivyonawiri kiteknolojia na hilo halina ubishi. Pongezi kwa waliohusika akiwemo ndugu Tido. Lakini pia tumeona kupotea kwa vipindi vinavyokuwa na sura ya kitaifa na matokeo yake vipindi vingi vimekaa kibiashara na hata ki clouds clouds hivi.
TBC imepoteza mvuto kama televisheni ya kitaifa.
Hoja ninayoleta je ni Tido aliyeanzisha safari ya kifo hiki kwa mageuzi yake? Tufanye nini kuirudisha TBC ktk mstari unaoipasa?
TBC imepoteza mvuto kama televisheni ya kitaifa.
Hoja ninayoleta je ni Tido aliyeanzisha safari ya kifo hiki kwa mageuzi yake? Tufanye nini kuirudisha TBC ktk mstari unaoipasa?