mkuu, wabunge gani wanatoka?..........Wabunge wanatoka nje, nawaunga mkono.
sasa umeferahi nini? ngoja uvunjike mfupa tuone nan i atakutibu. kumbuka Mungu ndie anapanga hakuna anayeomba kuumwaWabunge wametaka kujadili kuhusu mgomo wa Madaktari, Spika almanusura aongee kikwao kwa Hasira zilivyomganda.
Hakuna mwongozo wala nini, Bunge lichape kazi,
Speaker Oyeeee,
Kama nimekuudhi, Leave me alone
Makinda hataki mwongozo wala taharifa
Tafadhari naomba mtujuze kinachoendelea......
amekataa kumpa nafasi Mnyika kuomba mwongozo na kutoa taarifa.
Sura imemshuka huyu bibi utadhan kamwagiwa tindikali
Nashangaa wabunge wengi walisimama kuunga mkono hoja, yeye akawakalisha, akatema pumba ...wengine wakagumia mwongozo na taarifa...yeye kakaza kasema ashaamua hamna mwongozo na bunge liendelee kama kawaida
Makinda hajaruhu mpaka kamati yake irudi na majibu....naona anatumia ubabe zaidi badala ya busara