Barua ya wazi kwa waziri, Daktari Dorothy Gwajima.
==========
April 12, kila mwaka ni siku ya mtoto anayeishi mtaani duniani.
Tanzania ni moja ya taifa linaloadhimisha siku hii.
Watoto wa mitaani usababishwa na tatizo la malezi ktk ngazi ya familia.
Tunapoazimisha siku hii, naomba niandike...
Sababu kubwa inayombeba Mama yetu Malkia wa Mazingira Africa [emoji288]
Ni kuwa Msikivu, Mwadilifu, Mpenda maendeleo na Ndiye kiongozi mwenye nia ya dhati ya kuhakikisha taifa letu linakuwa na Usawa kwa watu wooote.
Huyu ndiye Dr Samia Suluhu Hassan, kiongozi pekee anayejali na Kuthamini Jamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.