Recent content by mwanaupepo

  1. mwanaupepo

    JamiiForums Tanzania Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Shirika la Umeme Tanzania - TANESCO

    c Sent using Jamii Forums mobile app
  2. mwanaupepo

    JamiiForums Tanzania Stay away from Bitcoin crazy

    Itakua wanatoa hela zao kwa ajili ya school fees January
  3. mwanaupepo

    JamiiForums Tanzania MJADALA: Ni changamoto gani unakumbana nayo kwa kuchelewa kuoa/kuolewa?

    m h Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
  4. mwanaupepo

    JamiiForums Tanzania Huu ndio uamuzi wangu Mimi

    Wakuu, Nilitamani kusikia Sera na utekelezaji wake zikinadiwa kwenye majukwaa, mgombea kuelezea kwanini tuko hapa kimaendeleo na kubainisha vilivyotufikisha hapa na namna ya kuvitatua, pia kuelezea njia pamoja na mbinu zitakazo tumika kutekeleza ahadi zake. Hadi sasa sijasikia hivyo vikitamalaki...
  5. mwanaupepo

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Rais Kikwete azindua Uwanja wa Ndege za kivita Morogoro; Mkuu wa Majeshi ahudhuria

    Daah! yule dogo janja alie zusha na kuleta tension kwajamii juu ya mkuu Wa majeshii kazi anayo sasa.
  6. mwanaupepo

    JamiiForums Tanzania Masikio kuwasha, nitatizo?

    Salamu wakuu. Naamini bado tunaendelea kuomboleza kwa kutokwa na kijana na mwanasiasa shupavu alie pendwa karibia na na watu wote ndani na nje ya Ludewa bila kuzingatia utofauti wetu wa kiitikadi mbalimbali ikiwemp ya kivyama. Tumuombee kwa Mungu ampuzishe kwa amani. Amina. Leo napenda kupata...
  7. mwanaupepo

    JamiiForums Tanzania Kutoka Dodoma: Sherehe za Kilele cha mbio za Mwenge, Rais Kikwete ahutubia

    Salaamu: Wakuu, ni kawaida kwa baadhi ya watu kuwa na matarajio flani pale kunapokua na tukio au sherehe tarajiwa. Mara nyingi hua sio lazima hususani katika hotuba kua kama unavyo tarajia au kinyume chake. Je, wewe uritarajia hotuba izungumzie nini: imekua kama matarajio yako au kinyume chake...
  8. mwanaupepo

    JamiiForums Tanzania Nauza line za Tigopesa na Airtel money

    Weka contacts
  9. mwanaupepo

    JamiiForums Tanzania Aliyekuwa anasambaza habari za uzushi za kifo cha Mkuu wa Majeshi atiwa mbaroni

    Kwanini uaminike wewe na sio wao?
  10. mwanaupepo

    JamiiForums Tanzania Wapo waliojaribu kupambana na system ila mwisho wao haukuwa mzuri

    Uyasemayo nayaamini, Ila sio kwa Tanzania. Na nnahisi huo mtazamo nyie wanasystem na system yenyewe kama mmekopi tu wala hamuutendei haki usemi huo. System ya democratic country kwa mtazamo wangu naamini ingekua inaandaa mtu anaekubalika na wengi au kumtengenezea mazingira ya kukubalika na...
  11. mwanaupepo

    JamiiForums Tanzania NAPE: Hatutaruhusu vurugu wakati wa kampeni za Kalenga

    Nidhahiri ayanenayo mtu ndio yaliojaa moyon.. kama tuhuma alizotoa Nape zinaukweli, nahazikufikishwa ktk vyombo vya dola, huyu jamaa anayake.., Kwa sasa anatafuta kinga, wakat greenguard watakapoanza kutekeleze kauli za viongozi wao, waseme tulisema!
  12. mwanaupepo

    JamiiForums Tanzania NAPE: Hatutaruhusu vurugu wakati wa kampeni za Kalenga

    kutaka kubaki maskioni mwa watu kisiasa kila wakati ni kipaji.., wanaoforce ndo matatizo yake hayaa
  13. mwanaupepo

    JamiiForums Tanzania Naanza safari ya kutafuta "Six Packs"

    Waxing!!!!?????.. ndo nn hii?
  14. mwanaupepo

    JamiiForums Tanzania Sitta awafungulia mashtaka Lowassa, Rostam CCM

    Mimi si mwanasheria, ila kama sheria haimzuii sitta kupeleka mashtaka yake mahakamani.. naye pia asimnyooshee kidole makamba! nayeye analea mafisadi. Sababu anawajua na ushahidi anao, kwann asiwapeleke mahakamani anawashitak kwenye chama!
Back
Top Bottom