Wakuu,
Nilitamani kusikia Sera na utekelezaji wake zikinadiwa kwenye majukwaa, mgombea kuelezea kwanini tuko hapa kimaendeleo na kubainisha vilivyotufikisha hapa na namna ya kuvitatua, pia kuelezea njia pamoja na mbinu zitakazo tumika kutekeleza ahadi zake. Hadi sasa sijasikia hivyo vikitamalaki...
Salamu wakuu.
Naamini bado tunaendelea kuomboleza kwa kutokwa na kijana na mwanasiasa shupavu alie pendwa karibia na na watu wote ndani na nje ya Ludewa bila kuzingatia utofauti wetu wa kiitikadi mbalimbali ikiwemp ya kivyama. Tumuombee kwa Mungu ampuzishe kwa amani. Amina.
Leo napenda kupata...
Salaamu:
Wakuu, ni kawaida kwa baadhi ya watu kuwa na matarajio flani pale kunapokua na tukio au sherehe tarajiwa. Mara nyingi hua sio lazima hususani katika hotuba kua kama unavyo tarajia au kinyume chake. Je, wewe uritarajia hotuba izungumzie nini: imekua kama matarajio yako au kinyume chake...
Uyasemayo nayaamini, Ila sio kwa Tanzania. Na nnahisi huo mtazamo nyie wanasystem na system yenyewe kama mmekopi tu wala hamuutendei haki usemi huo. System ya democratic country kwa mtazamo wangu naamini ingekua inaandaa mtu anaekubalika na wengi au kumtengenezea mazingira ya kukubalika na...
Nidhahiri ayanenayo mtu ndio yaliojaa moyon.. kama tuhuma alizotoa Nape zinaukweli, nahazikufikishwa ktk vyombo vya dola, huyu jamaa anayake.., Kwa sasa anatafuta kinga, wakat greenguard watakapoanza kutekeleze kauli za viongozi wao, waseme tulisema!
Mimi si mwanasheria, ila kama sheria haimzuii sitta kupeleka mashtaka yake mahakamani.. naye pia asimnyooshee kidole makamba! nayeye analea mafisadi. Sababu anawajua na ushahidi anao, kwann asiwapeleke mahakamani anawashitak kwenye chama!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.