Recent content by mwanaumemashine

  1. mwanaumemashine

    Mhimili wa Mahakama uhamie Dodoma

    Bandari ya hindi nayo ihamie Dodoma maana ndo makao makuu ya nchi.
  2. mwanaumemashine

    Andika kitu kinachokufilisi pesa yako lakini aukiachi!

    Petrol na huyu bidada wananifilisi.
  3. mwanaumemashine

    Uhakiki wa watumishi wa umma wasababisha kifo. Aliyesimamishwa kazi ajinyonga

    Ikitokea nimetumbuliwa sitachagua kazi ya kufanya. Zege, bodaboda, ntafanya.
  4. mwanaumemashine

    Kuzama chumvini kuna madhara kiafya?

    Mi nanyonya kila siku. Ila madhara yake meno kusagika
  5. mwanaumemashine

    Msafara wa Rais Magufuli wagonga mtu Dodoma

    Siku ukigongwa ww utakuja hapa kueleza kama ni kiziwi
  6. mwanaumemashine

    Trump akamata magari 1000 bandarini

    Hizi nyuzi zina ukakasi
  7. mwanaumemashine

    Mkuu wa police ambaye ameondoka na sifa zake nzuri na za kupendeza

    Wabongo roho mbaya sana. Unaongea hujui lolote
  8. mwanaumemashine

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Huyu waziri ndo alichukua posho za wataalam wa Tanesco kule kusini.
Back
Top Bottom