Sidhani kama ni Addiction
Hata mi Napenda saana wanawake wa hivyo yaani 40+ wenye Nyama laini ambazo zimeanza kushuka haswa nyuma ya mkono kwa juu kati ya kiwiko na Bega (Biceps Brachii) na kwenye mgongo.
Naamini hii ni ladha ambayo inapendwa na wanaume wengi (Kama wengine Wanavyopenda...
Kweli hizo Mambo zipo, Kuna kisa kimoja niliwahi kusikia kuhusu kupata utajiri, kinafanana na hicho chako cha nyoka.
Kuna jamaa kutoka Malawi wanaishi Dar, yeye na mke wake walifanya uchawi
Hivyo basi bi balaa wao walipewa sharti la kufuga nyoka mkubwa lakini chakula chake ni ute wa **** ya...
Hizi ndoto nimeziota saana na ni kweli nikiota nakula msoto wa maana mpaka imani inanishinda.
Nataka kufanya lolote yaani hata kulishika buku haiwezekani,
kwa kuongezea nakimbizwa na wanyama wakali halaf Napaaa,
Na pia naota vita vita au polisi wanakuja kunikamata zote hizo nikiota ni msoto...
Washatengenezwa kuwa silent kwa hiyo hutosikiwa wana complain suala la zamu yao sasa hv.
Chezeaa watu na strategic zao za kuingia ikulu,!!
Kwa kawaida siku za sikukuu watu wanasheherekea makwao, lakini pasaka ilisheherekewa znz
Uzuri wa sehemu, mtu au kitu unategemea maono, maslahi, mapendekezo na mahitaji yako, ushawishi unachukua nafasi ndogo sana ili uone uzuri ukilinganisha na niliyoyataja hapo juu,
Umeleta uzi huu kama vile unahitaji watu wakushawishi ili uuone uzuri wa mwanza au arusha,
Kila mtu hapa atalisifia...
Ipo case law, ime set precedent kwamba malipo ya wakili yanayolpwa baada ya kesi na kutegemea maamuzi ya kesi hayakubaliki katika sheria zetu za bongo, kesi hiyo ni ya mkono dhidi ya mteja wake mmoja(sikumbuki jina) na pia citation yake sikumbuki uulizia utaipata.
Kipindi cha probation ni miezi 3 lakini kinaweza kurudiwa mara 4 ikitokea mwajiri hajaridhika na utendaji kazi wa mwajiriwa, yaani atamuongezea muda mara ya kwanza, ikitokea hajaridhika tena atamuongezea mara ya pili, hivyo hivyo mpaka mara 4 yaani mwezi wa 12 toka siku ya kuanza kazi.
Katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.