Recent content by mwananyiha

  1. M

    JamiiForums Tanzania DAWASA Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na ushauri

    Habari za asubuhi DAWASCO. Mimi ni mkazi wa Kinondoni Kata ya Wazo, siku za karibuni tumepata Neema ya maji katika maeneo ya Salasala. Hata hivyo waunganishaji wa mabomba ya maji hawakuunganisha vizuri kiasi cha kufanya maji kuvuja na kusambaa barabara na kuisababishia serikali hasara...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Startimes wenyewe mbona hawatoi majibu?
  3. M

    JamiiForums Tanzania Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Startimes tatizo la king'amuzi changu hakioneshi list ya channels kila nikijaribu kusearch automatically. Muda mrefu nilikuwa sikitumii na nilipotaka kutumia ndio nikakutana na tatizo hilo. Naishi Wilaya ya Kinondoni Kata ya Wazo Mtaa wa Kilimahewa. Namba ni 02035349729. Naomba utatuzi wa...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Hivi ving'amuzi Channel za nyumbani ninunue kipi?

    Hivi king'amuzi cha antena na dishi ni tofauti kwa maana kwamba haviingiliani?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Ukweli wangu juu ya masuala ya uchaguzi kuanzia mwaka 1995

    Asante sana
  6. M

    JamiiForums Tanzania Ukweli wangu juu ya masuala ya uchaguzi kuanzia mwaka 1995

    Ndugu wana JF habari za asubuhi, Napenda kuelezea kwa kifupi jinsi ambavyo nimekuwa nikifanya maamuzi katika chaguzi mbalimbali katika nchi yetu. Nikianza na mwaka 1995 mwaka ambao ulikuwa ni mwaka wa kwanza tangu mfumo wa vyama vingi urudi tena maamuzi yangu niliyofanya ilikuwa ni kumchagua...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya Mahakama kuhusu Makala ya Gazeti la Mwananchi "Mtandao wa Rushwa Mahakamani"

    Nimeshangaa mahakama ya Kawe gazeti la mwananchi kutoitembelea.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Balozi Amina S. Ally Jilaumu Mwenyewe Ila Ulikuwa Ndiyo Uwe Mgombea Mwenza Ila Uli POPOKA Jana

    Mnalaum bure ile hoja ndio iliyomwinua ndio maana akamshinda hata bi Asha.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Ajira za mahakama ya Tanzania, ambao hawakuwa kwenye orodha ya usaili wapangiwa vituo vya kazi

    Mkuu ni vizuri ungeweka list zote mbili yaani ile ya watu waliokuwa shortlisted na ile ya walioajiriwa ili sote pamoja na vyombo vinavyohusika tujue yupi ni yupi.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Mkopo kwa wanafunzi wa Law School

    Wakuu hakuna mwenye taarifa juu ya hili?
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mkopo kwa wanafunzi wa Law School

    Kufuatia marekebisho ya sheria inayohusu mkopo kwa wanafunzi wa Elimu ya juu na hivyo kuwahusisha hata watajwa hapo juu. Kwa anajua,je, wameshaanza kunufaika na marekebisho hayo au bado utaratibu haujawekwa?
  12. M

    JamiiForums Tanzania Fursa ya biashara kwa yeyote anayehitaji

    Inahusisha nchi nzima we fuata tu maelekezo bila kujali upo sehemu gani ya nchi.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Fursa ya biashara kwa yeyote anayehitaji

    Ukifanya ulinganisho wa uanzishaji wa biashara nyingine utagundua kuwa gharama hii ni ndogo sana.
Back
Top Bottom