Recent content by mwanandugu

  1. M

    GE2015 Mzee Mkapa: Wanaosema Wanataka Kuikomboa Tanzania ni Wapumbavu na Malofa

    Kauli ya mheshimiwa Mkapa inapaswa kukemewa kwa vitendo.
  2. M

    Diamond, ni nani kakwambia Sumaye na Lowassa ni kabila moja?

    Watanzania wenzangu, misingi tuliyojijengea inatuwezesha kuishi kwa kuheshimiana na kuishi pamoja bila kujali mtu anatoka kabila, dini au ukanda gani. Hoja yoyote inayoabudu maeneo haya matatu niliyotaja hapa haina nafasi katika nchi yetu, hasa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu...
  3. M

    Urais 2015: NEC yamuidhinisha Lowassa na mgombea mwenza kupeperusha bendera ya CHADEMA

    Tuchangie kwa kutoa hoja na siyo maneno machafu. Mchangiaji mstaarabu utamtambua kwa lugha anayotumia. Sisi wote ni watanzania ambao tumeishi kwa amani kwa muda mrefu sasa. Ustaarabu wetu utadumisha amani yetu. Tumchague rais atakayetuletea mabadiliko chanya.
  4. M

    Urejeshaji wa Fomu za wagombea Urais, Ofisi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi

    Tuchangie kwa kutoa hoja na siyo maneno machafu. Mchangiaji mstaarabu utamtambua kwa lugha anayotumia. Sisi wote ni watanzania ambao tumeishi kwa amani kwa muda mrefu sasa. Ustaarabu wetu utadumisha amani yetu. Tumchague rais atakayetuletea mabadiliko chanya.
  5. M

    CHADEMA 'Lowassa siyo fisadi', CCM 'Lowassa ni fisadi'

    Inawezekana kwamba mwanzoni Chadema walikuwa wanasisitiza kusema kwamba Lowassa ni fisadi ili CCM watoe ushahidi na kumchukulia hatua baada ya ile ripoti ya Mwakyembe. Lakini kwa miaka nane baada ya kujiuzulu kwake hakuna mtu wa CCM aliyemgusa. Sasa uwepo wa Lowassa katika Chadema unaifanya CCM...
  6. M

    Dr. Nchimbi: Wanaonung'unika sasa ni wasaliti

    Kama nimesikiliza vizuri maelezo ya Mh. Nchimbi kwenye video hapo juu: Kisheria ilikuwa inaruhusiwa kujenga gorofa nane tu katika eneo analozungumzia. Je, ilikuwaje Magufuli akatoa kibali cha kujenga ghorofa zaidi na zikajengwa 26 ?
  7. M

    Kama Slaa, Migiro, Salim, Lowassa, Shein hawafai kuwa Rais; nani atatufaa 2015?

    Hata JK aliona anafaa ndiyo maana akamteua kuwa mbunge.
  8. M

    Iwe lazima kupiga kura Tanzania

    Kupiga kura ni haki ya kila Mtanzania mwenye umri wa kuanzia miaka 18. Lakini wengi hawatumii haki hiyo inavyotakiwa wakati wanajua kwamba ni njia ya kukuza demokrasia. Napendekeza kuwa suala la ulazima wa kupiga kura lifikiriwe na Bunge na ikiwezekana liwekwe kwenye Katiba mpya ili kila...
  9. M

    Katiba mpya - Pendekezo mbadala

    Kama tunataka kujenga muungano imara, tunapaswa kuwa na rais mmoja tu, yaani yule wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania. Halafu kila upande wa muungano uongozwe na mawaziri wakuu. Mmoja aunde serikali ya Tanganyika na mwingine aunde serikali ya Zanzibar. Viongozi hawa watatu (yaani rais na mawaziri...
  10. M

    Kupanda kwa uchumi wa Tanzania na faida kwa wananchi

    Kama kweli uchumi wa Tanzania umeongezeka kama inavyodaiwa, basi serikali inapaswa kuchukua hatua za makusudi kuhakikisha kwamba watanzania wote wanafaidika. Ili watu wote waweze kuona unafuu wa maisha, inabidi serikali ianze kwa kutoa elimu na matibabu ya bure nchi nzima. Ieleweke kwamba nchi...
  11. M

    Natafuta kiwanja cha kujenga nyumba ya kawaida Dar

    Unajua Mamakibunju: biashara ni mazungumzo na maelewano. Fika ujionee mwenyewe na tutakubaliana vizuri kabisa. Kwa kawaida mteja ni mfalme na halazimishwi. Nakutakia siku njema. Nategemea utanipigia au unipe namba yako nikutafute.
  12. M

    Viwanja vinauzwa, Dar es Salaam

    Biashara ni makubaliano. Fika ujionee mwenyewe na tutazungumza vizuri usiogope. Nakutakia siku njema.
  13. M

    Natafuta kiwanja

    Viwanja hivi havina mgogoro wowote. Uko huru kutembelea eneo na hata kufanya uchunguzi kwa majirani kabla ya kununua. Napenda kuwa wazi ili usipate matatizo. Mimi ni mtanzania mwenzako ndugu yangu. Nakutakia jumapili njema.
  14. M

    Natafuta Shamba

    Habari za leo. Kinyerezi panafaa kama shamba na pia kama kiwanja. Kuna viwanja 14 na kama utachukua vyote unaweza kujenga na kulima au kufuga. Unaweza kutembelea eneo hilo kujionea mwenyewe. Wasiliana na Oswald kwa namba 0767342632 au 0784342632. Nakutakia jumapili njema.
  15. M

    Viwanja vinauzwa, Dar es Salaam

    Mashamba yanauzwa Kisarawe. Bei kwa ekari moja ni Tshs. 1.5m (Milioni moja na nusu). Kuna umbali wa kilomita 60 kutoka Ubungo. Mashamba yamepimwa ila bado hati. Kuna jumla ya ekari 267. Maji yapo ya visima vya kuchimba ardhini. Barabara inapitika vizuri. Wateja ni wengi. Wahi usije kujilaumu...
Back
Top Bottom